Mtoto akiwa na miaka michache

Je, kwa nini miaka michache ya kwanza ya maisha ya mtoto yako ni muhimu?

Kutoka wakati wa kuzaliwa na miaka mitatu, mtoto yako atakuwa na ataendelea haraka zaidi kuliko hatua yeyote ya maisha yake. Vile bongo ya mtoto yako utakuwa ni kitu cha muhimu sana. Kutoka wakati wakuzaliwa na miaka mitatu, bongo ya mtoto itakuwa sana na njia utakuwa umethibitika ambaye utatumiwa baadaye. Kile tunachofanya, tunachosema, tunachofikiria na tunachosikia kinapatiwa uzoefu na maana kikipitia bongo. Bongo yetu inatupatia ruhusa kupendana, kulia alafu kusikia vizuri baadaye, kupaparika na kuelewa baadaye.

Bongo ambaye unakuwa

Wakati wa kuzaliwa, mwili wa mtoto yako unakuwa na chembechembe ya neva billioni mia moja. Miaka michache ya kwanza ya maisha hii chembechembe husababisha viungo muhimu bongoni ambaye vinaathiri matukuto, maingiano na akili ya mtoto yako. Mtoto yako akiwa bado mdogo, bongo yake inathiriwa na yale inapata kutoka kizunguko cha mtoto. Bongo hutumia miango ya maarifa yetu (macho, maskio, pua, ulimi na ngozi) kutuambia kile kinachofanyika duniani. Kile tunachojaribu kina kuchujiwa na miango ya maarifa yetu. Hii miango ya maarifa hupeleka ishara kwa bongo yetu. Ishara hii, inaweza kugeuza vile bongo yetu huelewa na huitikia maarifa na habari.

Dhima muhimu kwa wazazi watoto wao wakiwa na miaka michache

Watafiti wamejulisha kwamba uhusiano kati ya mzazi na mtoto (kutoka wakati amezaliwa na bado ako na miaka michache) unaathiri vile ubongo unakuwa kwa njia mengi. Watoto wachanga wakipatiwa upendo na kutunzwa vizuri, viungo vyao vya bongo ambavyo vinahusiana na kusikia vizuri na utaalamu huimarishwa. Watoto wachanga na watoto wadogo wanahitaji kulewa na upendo, kupapaswa na nyege kuwawezesha kufunza na kukuwa kwa njia bora. Uhusiano zuri kati ya wazazi na watoto wachanga husaidia kuongoza shani, kujiheshimu na imani kwa watoto ambao wanakuwa. Uhusiano kama hizi utasaidia watoto kukabili vizuiri maaliko ya maisha.

Wakati wa miaka tangulifu toa wakati wa:

  • Kushika na kumbatia mtoto yako
  • Kutabasamu na kuongea na mtoto yako
  • Kutambua na kujibu ishara ya mtoto yako
  • Kupatia mtoto yako ujuzi na hatua mpya
  • Kuhakikisha watoto wako wanasikia salaama na wanahifadhiwa vizuri
Kusikiliza
Mtoto akiwa na miaka michache
Update Required To play the media you will need to either update your browser to a recent version, enable javascript or update your Flash plugin.